Shule ya msingi Boma yafanya vyema mtihani darasa la saba..
Shule ya msingi Boma Sidan iloyoko kata ya Jangwani wilaya ya Kiteto imefanya vizuri matokeo darasa la saba...imekuwa nafasi ya kwanza kimkoa na kiwilaya na kishika nafasi ya 45 kitaifa..hongera sana Boma Sidan mmepiga chini Lalak...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni